top of page

SITAKI KUJUA WANABEKI GANI HATA KAMA RAMOS NATAKA KUWAFUNGA YANGA TAR 19 -ATEBA

Kutoka kwa mshambuliaji wa Simba SC Leonel Ateba amefunguka haya


"Nataka kuwafunga Yanga Tarehe 19, sitaki kujua wana mabeki wa aina gani, sitaki kujua kama kuna Sergio Ramos anacheza Yanga, sitaki kujua majina ya mabeki wa Yanga, ninachohitaji ni kufunga" Christian Lionel Ateba mbele ya waandishi wa Habari kwenye Simba Media Day.


Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page