top of page

SOKA LINALIPA MZIZE AFUNGUA DUKA LA NGUO


Mchezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars na klabu ya Yanga SC Clement Mzize amefungua duka la kisasa la nguo kupitia ukurasa wake wa Instagram ameweka wazi hilo ambapo ameandika "Karibuni sana Sinza Makaburini kujipatia Nguo za Kiume za aina zote Karibuni sana mje mnisapoti kijana Wenu Sapoti yenu ni muhimu sana kwangu".



Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page