top of page
Radio on air

STEVE NYERERE, WEMA SEPETU NA BONGO WENGINEO NDANI YA KOREA UMEWATAMBUA NANI NA NANI HAPA?


Baadhi ya wasanii wa Filamu nchini Tanzania wakiwa nchini Korea kwa ajili ya kupata mafunzo na kubadilishana uzoefu ambapo katika picha hii wametembelea ubalozi wa Tanzania nchini



Korea.

Katika picha aliyochapisha Wema Sepetu kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika caption hii

"Mapema ya leo na mheshmiwa mwenye dhamana ya ubalozi Nchini Korea na watu wake wenye moyo wa shukrani katika ziara chanya."

Umewatambua akina nani hapo?

Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page