top of page

TATIZO SEHEMU KUBWA NI MAJERUHI - AHMED ALLY

Baada ya Simba SC kutoa sare ya 2 - 2 dhidi ya Namungo FC mchezo wa Ligi Kuu ya NBC


Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya

"Kwenye kipindi hiki ambacho unahitaji Jeshi lako kamili kwa ajili ya mapambano bahati mbaya sehemu kubwa ya Wanajeshi wako ni Majeruhi Pamoja na sababu nyingine lakini hii ni tatizo jipya linalotudhoofisha hivi sasa.

Insha Allah jopo la Madaktari wanapambana kuhakikisha tunapunguza idadi ya Majeruhi ili warejeee kuipambania Simba yetu

Poleni Familia". Ahmed Ally.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page