Tetemeko la ardhi kali zaidi nchini Taiwan katika kipindi cha miaka 25 limetikisa kisiwa hicho
nyakati za asubuhi na kuharibu majengo, barabara kuu na kusababisha vifo vya watu wanne.
Shirika la zima moto la Taiwan limesema watu wanne walifariki katika Kaunti ya Hualien na takribani 57 walijeruhiwa katika tetemeko hilo lililotokea mapema Jumatano ya leo.
Comments