Klabu ya Simba SC imetangaza kuachana na mchezaji wake Luis Miquissone raia wa Msumbiji
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_d7465bbce7ea4ab9863fffacd9579e4f~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_d7465bbce7ea4ab9863fffacd9579e4f~mv2.jpg)
hivyo kwa sasa mchezaji huyo yupo huru, kupitia ukurasa wa Instagram wa Simba SC umethitisha hilo taarifa ikisema
Tumefikia maamuzi ya kutomuongezea Mkataba Kiungo wetu, Luis Miquissone."