Kutoka kwenye ukurasa wa Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka haya mara baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC kumalizika kwa sare ya Kagera Sugar 1 - 1 Simba SC katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba ambapo amesema
"Al hamdullilah...Tujipange kwa mechi tatu za mwisho tumalize ligi vizuri."
댓글