Wakati Ligi Kuu ya NBC msimu wa 2023/24 ikitamatika leo na Simba SC ikishika nafasi ya tatu
hivyo kushiriki Kombe la Shirikisho Afrika msimu ujao Meneja habari na mawasiliano Simba SC Ahmed Ally amefunguka maneno haya kupitia ukurasa wake wa Instagram
"Tujipange kwa wakati ujao"
Comments