top of page

“UKINITANGAZA MTANDAONI TUNAACHANA” - IDRIS SULTAN


Kutoka kwenye ukurasa wa X zamani Twitter wa Muigizaji Idris Sultan amefunguka haya "Mwanamke akitangaza yupo na mimi, tunaachana





Sikwepeshi wala siyumbishi neno. Mimi matangazo nayajua vibaya mnooo sasa ukiona sitangazi my relationship basi ujue sio mahala pake. Kati ya 10 unayopata mtandaoni ukitangaza mahusiano yako basi 8 ni mabaya. Tuanze kujifunza kuwa na mahusiano ya wawili na sio ya walimwengu. Ndo kwanza wabichi mshaanza pr."


Unakubaliana na mtazamo wake?

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page