top of page

UKRAINE KUPIGANA NA WANAJESHI WA KOREA KASKAZINI BAADA YA TAKRIBANI WANAJESHI 11,000 KUINGIA UKRAINE

Wanajeshi wa Korea Kaskazini wamepambana na wanajeshi wa Ukraine kwa mara ya kwanza baada ya takribani wanajeshi 11,000 wa Kikorea kuingia Ukraine


Hayo yamejiri baada ya maafisa wakuu wa Ukraine kufichua taarifa hiyo katika mahojiano na shirika la utangazaji la Korea Kusini KBS. Aidha Waziri wa Ulinzi wa Ukraine Rustem Umerov amesema kuwa kundi dogo la wanajeshi wa Korea Kaskazini limeshambuliwa


Kwa upande wake Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa mpaka sasa Nchi za Magharibi hazijajibu chochote kuhusu kuingia kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini na vita hivyo kufungua sura mpya ya ukosefu wa utulivu duniani.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page