Za chini chini tulizopokea mezeni kwetu ni kwamba huenda mwamba wa Lusaka Clatous
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_0778ca0724594f368c675518319bef0d~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_0778ca0724594f368c675518319bef0d~mv2.jpg)
Chama akajiunga na Yanga SC wiki ijayo akitokea Simba SC kwani makubaliano na kila kitu vipo tayari.
Chama akijiunga na Yanga atakutana na mchezaji Aziz Ki sasa hebu tuambie unatamani ukiona msimu ujao wakicheza pamoja au ndio una D mbili hivyo ushaelewa kila kitu.