top of page

UTURUKI YAADHIMISHA MIAKA 101 YA JAMHURI

Na Ramla Ramadhan


Miaka 101 imeadhimishwa nchini Uturuki kufuatia sherehe nchi nzima zinazoadhimisha siku hiyo ya kihistoria


Maadhimisho hayo yameanzia mjini Ankara, ambapo Rais Recep Tayyip Erdogan pamoja na viongozi wa serikali na jeshi wametoa heshima zao katika kaburi la mwanzilishi wa jamhuri Mustafa Kemal Ataturk. Aidha katika maadhimisho hayo Rais Erdogan amehimiza ukakamavu na ari ya Uturuki katika kuendeleza fikra zza maendeleo ya kisasa.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page