top of page

“VINICIUS ATASHINDA TUZO YA BALLON D'OR, MCHEZAJI BORA DUNIANI” KOCHA WA REAL MADRID ANCELOTTI

Na Ester Madeghe,


Mshambuliaji huyo wa Brazil amefunga hat-trick katika ushindi wa Real Madrid wa 5-2 dhidi ya Borussia Dortmund katika Ligi ya Mabingwa.


Meneja wa Real Madrid Carlo Ancelotti amemsifu Vinicius Junior baada ya mshambuliaji huyo wa Brazil kufunga hat-trick ya kipindi cha pili na kuwasaidia kupambana kutoka mabao mawili na kuwalaza wageni Borussia Dortmund 5-2 katika Ligi ya Mabingwa. Ancelotti ameuambia mkutano na waandishi wa habari kwamba anaamini kwamba Vinicius mwenye umri wa miaka 24 atashinda tuzo ya Ballon d'Or kama mchezaji bora duniani.

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page