Kutoka kwenye ukurasa wa Instagram wa Afisa Habari wa Yanga SC Ally Kamwe amefunguka
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_1789cd71fcb347e886b45f1dc6bc8646~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_1789cd71fcb347e886b45f1dc6bc8646~mv2.jpg)
vitu vitatu ambavyo wanadaiwa kama Yanga SC ambapo andiko lake limesema
"Vitu @yangasc Tunavyodaiwa Hivi sasa ni
1: Kumtambulisha Yule Bwana kwenye WIKI YA WANANCHI
2: UBINGWA WA AFRIKA
3: KUMFUNGA KOLO GOLI 10"