Kutoka nchini Kenya hali imeendelea Waandamanaji huko nchini humo wamevamia ndani ya
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_ed7a14cac23c4b30bb3de3ebfdc94ec1~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_ed7a14cac23c4b30bb3de3ebfdc94ec1~mv2.jpg)
hoteli ya Wabunge na kula chakula cha Wabunge.
Aidha taarifa pia zinaeleza sehemu ya Bunge la Kenya inateketea moto ambapo wabunge wamekimbilia nje kwa ajili ya usalama wao na kulazimu kikao cha Bunge kusitishwa.