WAASI WA M23 WASHAMBULIA
ENEO LA MAYUTSA NCHINI CONGO
Kutoka Goma nchini Congo DR Usiku wa kuamkia leo Ijumaa, waasi wa M23 walishambulia eneo la Mayutsa, moja ya maeneo ya Sake, wakijaribu kuchukua udhibiti wa kilima muhimu cha mji huo wakati Rais Felix Tshisekedi alipokuwa akizungumzia hali ya usalama mashariki mwa nchi. Vikosi vya FARDC, Wazalendo, na vikosi vingine vinavyounga mkono walijibu haraka na kuzuia jaribio hilo.
Kommentare