WALIPE KWANZA KISASI CHA MABAO 5
WALIYOFUNGWA HAPA" KOCHA JWANENG GALAXY
Kocha Mkuu Jwaneng Galaxy Morena Ramoreboli amesema
"Nawashangaa Simba SC wametangaza kufanya kisasi na sisi Jwaneng kwanini wasifanye kisasi cha kufungwa mabao 5 Kwanza waliyofungwa hapa, Sisi hatufahamu mambo ya kisasi na badala yake tumekuja kutafuta matokeo."
Comments