top of page

WALITUONEA SANA HAWA NIKAWA NAWAACHA TU -DIAMOND PLATNUMZ

Wakati ngoma ya Comasava yake staa wa Bongo Fleva Diamond Platnumz ikiendelea kufanya vyema katika mataifa mbalimbali mkali huyo ameibuka kupitia ukurasa wake wa Instagram


upande wa Insta Story na kufunguka haya

"I LOVE YOU MORE TANZANIA WALITUONEA SANA HAWA, NIKAWA NAWASOMA TU... ASAIVI WAMEINGIA KWENYE MFUMO, TUMEWASHIKA PABAYA...ΝΑ NITAHAKIKISHA TUNAWAPELEKEA MOTO MPAKA WAKIIONA HII BENDERA POPOTE WAWE NA HESHIMA!"

Comments


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page