top of page

WAPENDANAO MARIOO & PAULA UNAHISI MTOTO WAO ATAKUWA WA KIKE AU KIUME? HEBU TUJUZE



Ilikuwa kama utani taarifa zilipoanza kusambaa mtandaoni ya kuwa mtoto wa mtayarishaji wa muziki P.Funk pamoja na muigizaji wa Bongo Movie Kajala Masanja aitwae Paula ni mjamzito hatimaye majibu yamepatikana ni kweli kabeba ujauzito wa Marioo.

Sasa wawili hao wameachia picha za ujauzito na kuacha swali je unahisi mtoto wao atakuwa ni wa Kiume au wa kike?

コメント


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page