Kutoka kwenye ukurasa wa Karim Mandonga amefunguka haya kuelekea pambano lake na Mada Maugo hapo kesho
"Habari ya mda huu I hope mko good watu kazi Kilicho baki kwa watanzania wenzangu n maombi tu juu ya fight yangu ya kesho ninayo tarajia kucheza kesho naombeni maombi yenu hizi ngumi jamani kuna maisha baada ya ngumi" amefunguka Mandonga.
Comments