Hatimaye Kiungo mshambuliaji, Joshua Mutale raia wa Zambia amejiunga na kikosi cha Simba
baada ya kusaini mkataba wa miaka mitatu kuitumikia klabu akitokea Power Dynamos ya Zambia.
Nyota huyu atakumbukwa msimu uliopita kwenye kampeni ya Ligi ya Mabingwa Afrika alikuwa tishio dhidi ya Simba SC ambayo ilikuwa ikicheza na Power Dynamo wakati wakusaka hatua ya Makundi.