Hatimaye mchezaji Inonga Baka Varane raia wa Congo DR amewaaga mashabiki wa klabu ya
![](https://static.wixstatic.com/media/146e6d_6158f2019e6645428eea4f3081c339fb~mv2.jpg/v1/fill/w_147,h_147,al_c,q_80,usm_0.66_1.00_0.01,blur_2,enc_auto/146e6d_6158f2019e6645428eea4f3081c339fb~mv2.jpg)
Simba SC kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo beki huyu wa kati ambaye ni machachari ameandika ujumbe huu
“Asante sana kwa familia nzima, nimekuja kusema asante kwa yote uliyonitendea, nafikiri leo nilitaka kuaga, asante familia, unabaki moyoni mwangu daima." Ameandika Inonga.