top of page

ZUCHU AOMBA ASIFANANISHWE NA LADY JAY DEE "NAKOMESHA MIJADALA HII MARA MOJA"

Na Godson Mbilinyi


Baada ya ukurasa mmoja mtandaoni kuibuka na kuuliza mjadala huu "Kwa nini Zuchu ni mwandishi mzuri kuliko Lady Jaydee?"

Hatimaye Zuchu ameibuka na kutoa ya Moyoni juu ya kauli hiyo

"HUU NI MJADALA USIO NA MASHIKO NA

WAKIJINGA KUWAHI KUTOKEA LADY JAYDEE NI MOJA KATI YA ROLE MODELS WANGU NAMPA HESHIMA KUBWA SANA SABABU YEYE NI MOJA KATI MIFANO BORA SANA TULIYONAYO KWENYE TASNIA ESPECIALLY MABINTI, KUNISHINDANISHA MIMI NA DADA ZANGU WALIOTENGENEZA NJIA KAMA DADA KOMANDO NI KUIVUNJIA HESHIMA TASNIA, NAKOMESHA MIJADALA HII MARA MOJA."

Commentaires


Msasa Media
  • Instagram
  • Facebook
  • X
  • Youtube
  • TikTok

Follow, like, comment, and share

Tel. +255758379300
Mbezi Dar es saalam

bottom of page